Duration 4:41

TAHADHARI YA WAZIRI JAFO KUHUSU MAJUNGU TAMISEMI UNAPIGWA DOZI CC 10

5 851 watched
0
34
Published 10 Jan 2019

Waziri wa Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo amewata viongozi wapya walioteuliwa katika wizara hiyo akiwemo Katibu na Naibu Katibu kuepukana na suala la majungu hususani watakayokutana nayo TAMISEMI. Jafo amesema wanasiasa wanashida kubwa ikiwemo ikiwemo makofi na watu. Pia amesema wizara hiyo ina mambo mengi.

Category

Show more

Comments - 12