Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya
Subscribe to RadioJambo Youtube - https://bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - https://rb.gy/e154d1
Facebook - https://rb.gy/09d1b9
Twitter - https://rb.gy/e23220
@gakurenjaria59963 years agoI feel him 3 days is too much for people in love. Love is complex. 5
@
@badifamwenyewe83013 years agoGhost anasema ukweli kabisa 3day ni mob in love. 8
@
@kevohwapipelinetransami43513 years agoOoh my i feel him for sure aki woiyee pole. 14
@
@user-sf5je4ge2q3 years agoDalili ya mvua ni mawingu kijana ukiachwa kubali na maisha iendelee kama ajali. 2
@
@maagiy82673 years agoPole kijana, wasichana wa sikuizi wanabadilisha ka nguo, vile wengi fb. 2
@
@fredinahjohn11503 years agoNo break in relationship kwanza hii kitu ya kusoma text zangu and you ignore i hate it with passion heri useme issue place iko we solve tusonge mbele kama injili or else. 5
@
@estherkeli55623 years agoPole sana ndugu nakuombea ufonyaji waaraka.
@
@angiejacks18352 years agoMimi i get checked on hourly my friend.
@
@estheralbrechtsen89992 years agoMapenzi ya wazungu imefika kenya. That good. Gidi yani huamini. Hivyo ndivyo mambo ya love ilivyo.
@
@marywanga70773 years agoGidi 3days ni mob mimi hata nikimuona online na haongei pressure yapanda yawaatwaita mapenzi ya kunguru. 4
@
@theunforgettable67823 years agoUyo dem amemtoka, the guy can feel it. 1
@
@kipkoechmutai483 years agoKikale tunasema " ngwan chito ak chito e, yon jome kojome" 1
@
@jeremiasagostinho52722 years agoHuyo mwanamke alikua hayuko zaidi kimapenzi kwani yeyote anayekata mahusiano baada ya halifulani kujitokeza basi anakua alikua anahitaji kitu fulani wala sio mapenzi naweza nikamuita opportunist, philippe from mozambique.
@
@denilsonmecha23703 years agoMimi after 2hrs kama hajapiga nakuja patanisho. 2
@
@mkmwebia36893 years agoHiyo ya jana mnasena mbona hamkuileta youtube. 2
@
@bettysadia3223 years agoWengine tunakaa mwezi na huyu ako tu ma 3days! That kind of love can chock you. You need to miss someone. 1
@
@jamesgathaiya64503 years agoMelody amechoka ni venye hataki kusema. 3
@
@godsfavour56653 years agoAiii sasa kupigiwa simu ndio noma yawaa. 1
@
@ruthwaithera26503 years agoHe' s in love. But the signs with the lady huyo hana haja ya chali. 3
@
@mamayaoharistar45993 years agoWhen a luo loves he loves for rellygidi eti hiyo wimbo. 1
@
@jawaherkaseyi37673 years agoBreak itakuaje tu wakati shida imepata mwwnzako? This is the time yakumjulia hali. 1
@
@godsfavour56653 years agoWeee mapenzi ya sikuhizi ni kama mchezo ya pata potea wah. 1
@
@rosenafula27573 years agoAkufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. Huyu mwanadada hata akioleka she will not settle in marriage the time kuna ugumu. 1
@
@meinray3 years agoNdio wameanza kudate. The relationship is still young and new so just understand them.
@
@cleophasayiro103 years agoKwa nn men huwa wanalilia wanawake kwa ukweli, ladies wako wengi wenye wako single, so wats the problem with us sually. 4
@
@penny43103 years agoHuyu dame kuna mtu anasoma katiba, na aki pata his beter than the fiance atangoa, 3
@
@linetnekesa80193 years agoKama uko hapa kanairo sahau hii kanairo imebeba migora tupu bro pole akufaaye wakati was shida ndiye rafikl was kweli hapa tulikuja kutafta pesa mengi e mashambani c hapa. 3
@
@kambaprincess18063 years agoWegine tunatafuta true love na wegine hawatakigod give me a man who is serious and i wanna treat him normally. 2
@
@josephngara7333 years agoWewe gidi bwana mulei ako right, pia yeye ni msick ata kumjulia hali? Ama amepika.
@
@charlesmuriungi45473 years agoGidi shld let gost also tu run the show. Dont be so selfish. Umeweka gost baridi sana. ujaluo itatuwa yawah. 3
@
@kinjokamau53803 years agoNgai. So nijue kwangu pia kuna red flag.
@
@lucykimani30473 years agoAaaai mulee naku eka, these talking ya kila saa ina choke.
@
@bettiejoy-mtotowamama3 years agogidi wacha kuchukulia kirahisi, mtu mmezoeana kuongea kila time/siku alafu ghafla amekata mawasiliano adi msg hakuna reply? Ai hapo kuna kitu. Mimi na ghost tukosiku moja na patwa na wasiwasi. 11
@
@amyskitchen_jikoni3 years agoHuyu lady hampendi jamaa anatafuta kisababu amtoroke. The guy should have a spare (in case kuwe na break up hautakuwa heart broken sana) 3 days bila kukosana or rushiana maneno makali.
@
@makenamiriti61463 years agoDame hana aja na chali, kuna ile kitu alikuwa na aja nayo. 2
@
@hassanbinadow11909 months agoNimekubali bw ghost anajua mengine kuhusu mapenzi aki 3days bila kuongea tena unatuma ujumbe no reply bro nakuambia that' s not good sign anza kutafuta mwingine my friend.
@
@xjxjxnxn26733 years agoGiddy inafaa uwe na vile inasaidia pia walio na shida ya kifetha. 2
@
@irenemauti8833 years agoPia mm 3days ni mingi wee gidi kwani mlikuwa mnakaa aje na wife yko. 1
@
@mainamaish23283 years agoGidi mimi one day nasikianga vimbaya kama mtuone day na niko saudi hadi nasema nitapinga uku nijue shida ningani. 2
@
@salmahussein35833 years agoMwanaume anataka kupigiwa simu every second tuma credo kwake may be hana doo. 5
@
@kwahmah2303 years ago3days na chali yake ni mgonjwa ghost niko side yako gidi huwa anajifanya mjuaji saana. 3
@
@ririkenya65743 years agoWatu wa gulf munakuanga na mushene ni lazima mtuambie penye mko ama mnataka tuwaambie mtutumie pesa tuomoke pia sisi. 3
@
@heavenlyjoylillian7953 years agoGidi kwa rlshp hakuna break bwanawacha wewe mimi hata nikikuwa ignored hata 30minutes naskiaga nimewachwa mbali, heri kuambia mtu if you need a break. 2
@
@tiktokheroes42563 years agoNa agree na ghost gidi usichukulie mapenzi hivi inauma aki.
@
@ibrahimwerejuma48163 years agoHapa gidi na ghost hakuna mapenzi mimi nawambia ukweli. 1
@
@jojojoy14473 years agoEbu nipee number ya ouma i' m single. 1
@
@joneskahi35373 years agoKijana uliachwa let' s not keep u in hope.
@
@yassminzaid3033 years agoHuyu msichana alikuanga after money and now huu chaly ameumia hana doo she is trying to avoid him but she doesn' t want to come out and say the truth,. ...Expand
@
@loiceomwola74513 years agoMaswali ya gidi wee! Dawa tosha. Gidi umeshinda pastor' s na chief' s. Ghost kicheko.
@
@chullakoi15083 years agoNo 1 leo, na huyu bro ajipanga ju mwana dada anasema hakuna shida mbone amekata simu?
@
@kambaprincess18063 years agoSio normal gidi. Akikosa kuchukua simu and they talk na hareply text kuna sababu. Kama ako break agefaa kuambia jamaa. But hio ya kujipea break tu hvo kuna reason. Gidi we unacheza. Hata one day ni kubwa.
@
@charlesmuriungi45473 years agoI wonder why men cry for women? Why domt yu look for another woman? 2
Related videos for PATANISHO : ALINIACHA BAADA YA KUPATA AJALI:
ujaluo itatuwa yawah. 3