Duration 12:39

BIASHARA YA NYARA YATAJWA CHANZO CHA KUKATWA KICHWA NA MWINGINE KUJERUHIWA

211 watched
0
3
Published 3 Jan 2022

BIASHARA YA NYARA YATAJWA CHANZO CHA KUKATWA KICHWA NA MWINGINE KUJERUHIWA Kutokana na sakata la mtu mmoja asiyefahamika kuua na kujeruhi katika kijiji cha Rwamchanga Wilayani Serengeti, Serengeti Media Centre imeeendelea kufatilia kwa kina suala hilo na hapa imekuletea chanzo kilichopelekea kufanyika kwa tukio hilo zaidi fuatilia hapaa.. #HiviPunde #SerengetiMediaCentre #Subscribe #antomatv Kuwa wa kwanza kupata matukio ndani ya channel hii Washa Arifa (Notification) yako sasa ili uwe wa kwanza Pia tembelea Kurasa zetu ndani ya mitandao ya kijamii @Antomatv @SerengetiMediacentre

Category

Show more

Comments - 0