@khalifasultan26774 years agoAisee well said! Umeongea vitu vipo sawa sana mzee wa upako! Tusijenge ukabila wala udini, 25
@
@wilbertkigulu2824 years agoNimekuelewa sana mzee wa upako somo jema kwa jamii! Ubarikiwe sanaa! 7
@
@awadhirajabu68334 years agoMzee sema yote lakini ili kundi lenye kubadili dini kwasababu ya kuoa mke awana hata udini pumbavu zao badili dini kwasababu ya kusoma neno bila kizingiti. ...Expand
@
@fatmaothmanally94164 years agoMasha allah umeongea maneno mazuri kwel. 2
@
@zuberykharoub68684 years agoMze wa upako nakuelewaga sana. Gonga like kama unamkubaki anton lusekelo(mzee wa upako) 3
@
@allymohamed86584 years agoMzee wa upako nimekuelewa, unabusara ya hali ya juu, mungu akutie nguvu na maisha malefu. 6
@
@user-cr9mf7dg4k4 years agoMwenyez mungu amjalie asimamie dini yake vzr.
@
@nassormakwaya59704 years agoAllah akuzidishie khekima na busara mzee wa upako pia akupe umri mref wenye kher na baraka.
@
@namwanjafakii81564 years agoPaster mmupo good xana, ama keel bibliaww ni mwelevu xana, 4
@
@elisantej55124 years agoMzee wa upako nimefurahi kuona afya yako imerudi kama zamani. Yesu ni mkuu. 6
@
@daudimichael73384 years agoHongera sana mzee wa upako kwa busara zako. Ni kweli mungu ameweka njia mbili, ya upotevuni na ya uzimani na ametuachia uhuru wa kuchagua.
@
@rajahally99364 years agoSawa baba paroko umeongea lamaana hongera sanaa kiongezi wanguu wadini.
@
@andrewmussa93674 years agoLeo, ndo nmeona umeongea point sana, big up sana. 2
@
@dbless3104 years agoKazungumza maneno mazuri sana kwa mala ya mwanza. 20
@
@gregorychogelo20134 years agoJamaa angekua hapigi vi sanitizer angekua na akili zaidi ya hapa. 6
@
@akramissa33934 years agoHuyu mzee kwa mara yakwanza nimekuelewa kaongea point sana. 7
@
@josephatjordan21504 years agoWnaoelewa hapa ni wale wenye iq kubwa tu au akili nyingi na ambao hawakulisisha dini kama kabila! Dini n uhuru napoint na bila kuchonganisha umetoa uhuru moyo kwa kila mtu. 22
@
@khamysamursally59324 years agoMm huwa nakupenda sana mungu akusimamie ktk harakati zako.
@
@wazirmlogi75324 years agoUmeongea point sn, yan ni maneno yasiyo na ubaguzi. 5
@
@mohammedabdallah63904 years agoMzee wa upako kunywa fanta moja nakuja kulipa. 23
@
@tibakisunnahnaasili62504 years agoassalaam allaykum warahmma tullaah wabarakatuh ndg zng mimi ni doctor wa dawa za asili/kisunnah ninatibu magonjwa yafuatayo 1-u. T. I id="hidden4" sugu 2-maralia sugu 3-kichocho 4-kipanda uso 5-kisukari 7-sikoseli 8-amiba 9-vidonda vya tumbo 10- tumbo kujaa gesi 11- pumu sugu 12- 13-maumivu ya miguu 14- miguu kuvimba 15- miguu kuwaka moto 16- nguvu za kiume 17- nguvu za kike 18-kukosa hamu ya tendo. 19- hasira bila sababu 20- figo 21- kutoa jini mahaba 22- kutoa mashetani 23-kuombewa duaa ktk familia kuwe na utulivu 24- mtoto kusahausahau 25- mgongo kuuma 26-kiuno kuuma saana 27- macho kuuma 28- mafua sugu 29- kikohozi sugu 30-bawasiri 31- kukosa hamu ya kula 32-kifua kubana 33- gono 34- kaswende 35- kisonono 36- kuharisha 37- kuondoa chunusi 38- kutoa sihri mwilini 39- koo kuuma 40- na magonjwa mengi pia tunatibu 41-kukuuza uume kibamia 42-mafuta mazuri ya nywele 43-kumbaku (kuota vinyama puani) 44-na vinyama kwenye koo 45-fungus sehemu za siri mwanamme na mwanamke 46-pid kwa wanawake 47-kuzuia chuma ulete pia magonjwa mengi tunatibu kokote ukihitaji dawa inafka kwa uwezo wa allaah mawasiliano ni +255655245080whatsapp +255786153977 ushirikina kwetu mwiko!. ...Expand
@
@farhatfarhat38164 years agoNimekupenda sana ujapendelea upande mmoja bgp sana.
@
@maalimrajabu16344 years agoManeno ya mwenye akili hayo hongera sana mchungaji.
@
@ramadhaniabdi95304 years agoKama ili ni jambo la kwel bhas mungu amsimamie vyema benpol na kama ni kiki bhas mungu atamlipa. 13
@
@zkiduku40684 years agoNi kweli kila mtu na imani yake maana sote mungu wetu ni mmoja. 24
@
@sharifabdul60854 years agoSafi sana mzee wa upako, na tz ni nchi huru na haifungamani na dini yyte ispokua raia wake wana dini, kwa hiyo maamuzi ni yako kuchagua dini uionayo itakupeleka ktk kupata salama hereafter.
@
@ndekemwaifyusi84994 years agoMzee wa upako huwa nakuelewa sana. Uelewa wako upo tofauti.
@
@pericykiko61984 years agoMm unaniudhi tu hio cheni yako usipoivaa utaishika ina nini hio?
@
@saidsalum61014 years agoKweli mzee waupako umeongea vitu vichache sana ila umeeleweka vizuli sana. 1
@
@hilarykinyekile74334 years agoTunamuomba mungu mmoja, hakuna shida hapo. 5
@
@afizuboy34334 years agoBen pol walah aujapotea. Upo katikadini sahihujue kusoma kuran. 7
@
@jumason1424 years agoMzee wa upako umeongea point sana kweli we ni mkomavu kwenye dini hongera sana. 5
@
@florianhenry71984 years agoPoint taken kumbe kabla hujanwa pombe unakuwa na busala.
@
@guledomary28124 years agoMzee wa upako umeongea vizuri sana. Suala la kubadili dini ni hiari ya mtu hivyo isiwe sababu ya kumkashifu mtu kwa maamuzi yake. Pia inajenga umoja katika jamii. 1
@
@aloycekiwia86134 years agoAfadhali aanze kuimba qaswida aachane na miziki ya kidunia. Uislam hautaki bongo fleva. 2
@
@lusePro4 years agoKunywa bia mbili hapo nakuja kulipaa umeongea point. 1
@
@kibasamohamedi80294 years agoUmeongea point agiza wine nalipa mimi, utantumia namba ya kulipa pesa. 1
@
@josephphares53344 years agoMchungaji unaongea utopolo, acha kumpongeza mtu aliyekengeuka. 1
@
@humairamajengo66164 years agoMleten benpol mwenyew aseme maana anatuchanganya huko insta.
@
@sawdaasawdaa79034 years agoMuisilamu anaongozwa na roho. Sasa kwanini tusijenge umoja na allah kasema tusilazimishi dini ili tujenge tuishiiki na kile ila ya dini anaongoza mwenye enzi allah anasema ishi tuishi nanyi kwa wema ila kwa maisha ya kawaida ki dini kilamu aabudu anaye mutegemeya. Dini ni moja ya uisilamu. ...Expand
@
@omarmchoya3594 years agoMzee waupaco katka sk umeongea maneno yabusara bs nileo namin naww ipo sik utakuwa wetu tuy! Sema inshaallahha? 10
@
@yangoshatv53274 years agoAmna kabisa ben kakosea mno kutafuta ukoo mpya kidini alikuwa akiwaona waisilamu wamevaa kanz anaumia sana leo kaivaa wazaz umewacha ben.
@
@rehemadearing33564 years agoNimependa point yake japo mimi ni mkiristo.
@
@mwajumayunus4194 years agoMzee nimekuona anabusara mno maana wengine yangewatoka maneno.
@
@najma32684 years agoMimi huwa naamini munguwetu ni mmoja, dini ni kila mtu anaona hii ndo sahihi ndo ntafika salama, lakin, ni je unaamini kuwa mungu yupo, na unamuomba, haijalishi unaomba kwa dini gani au lugha gani mungu wetu husikia popote pale. ...Expand
@
@ibrahimmchucha30344 years agoNimeelewa apo namna hiyo mzee wa upako safii iyo nzuri bila chuki.
@
@emmadora78484 years agoAngekuwa katoka uisilamu na kaenda ukristo, mzee ungeongea maneno hayohayo lakini hawa watoa pongezi ungewaona sio kwa maneno makali wangetoa, ungesikia mara msiba, mara hasara binadamu hawa mhh.
@
@kiatu4 years agoNi kweli kabisa sababu ya kubadili dini ni vyema kama sio shinikizo.
@
@youtub83204 years agoYaani huyu mtu na mimi mawazo yetu nikama mapacha huwa anaongea kitu ninachokiwaza mungu akulinde lusekelo.
@
@mkalijaribu8704 years agoWachungaji wengi ila huyu jamaa hua namkubali sana japo na mapungufu yake hua anajua kutengeneza peace na harmony kikubwa anachoangalia hua ni ile hali. ...Expand
@
@newttechog754 years agoWe mze iyo vita ya kidini itatokea wapi tz uschochee bwana.
@
@kaifaiddy96184 years agoMzee wa upako ni mtu mwenye akili nzuri kulingana na nafasi yake napia ana hekma. 1
@
@KhadijaKhadija-cv9db4 years agoMungu anisaidie mm kwakweli maan hp nilipo nipo katikati.
@
@nasserm.nasser50874 years agoWatu maarufu na wenye utajiri ni rahisi kuwa waislamu maana hawana pressure ya kufuata dini za wazazi/jamii zao. Sancho alisilimu mwaka huu pia ni wamechoka kufuata dini za urongo ambaxo haziendani na nafsi na maumbile yao. ...Expand
@
@josephmusagasa55664 years agoYa mungu mpe mungu na ya kaisari mpe kaisari, kuwa wazi mzee wa upako, usiongee kwa kupotosha.
@
@mathewdeus44624 years agoSina comments nimejikuta nabonya bonya battan. 1
@
@emmanuellaurent22344 years agoAkili kubwa hii. Hujawahi niangusha mzee wa upako.
Related videos for MZEE UPAKO KAFUNGUKA BEN PAUL KUBADILI DINI HAKUNA UGOMVI:
6
1-u. T. I id="hidden4" sugu
2-maralia sugu
3-kichocho
4-kipanda uso
5-kisukari
7-sikoseli
8-amiba
9-vidonda vya tumbo
10- tumbo kujaa gesi
11- pumu sugu
12-
13-maumivu ya miguu
14- miguu kuvimba
15- miguu kuwaka moto
16- nguvu za kiume
17- nguvu za kike
18-kukosa hamu ya tendo.
19- hasira bila sababu
20- figo
21- kutoa jini mahaba
22- kutoa mashetani
23-kuombewa duaa ktk familia kuwe na utulivu
24- mtoto kusahausahau
25- mgongo kuuma
26-kiuno kuuma saana
27- macho kuuma
28- mafua sugu
29- kikohozi sugu
30-bawasiri
31- kukosa hamu ya kula
32-kifua kubana
33- gono
34- kaswende
35- kisonono
36- kuharisha
37- kuondoa chunusi
38- kutoa sihri mwilini
39- koo kuuma
40- na magonjwa mengi pia tunatibu
41-kukuuza uume kibamia
42-mafuta mazuri ya nywele
43-kumbaku (kuota vinyama puani)
44-na vinyama kwenye koo
45-fungus sehemu za siri mwanamme na mwanamke
46-pid kwa wanawake
47-kuzuia chuma ulete
pia magonjwa mengi tunatibu kokote ukihitaji dawa inafka kwa uwezo wa allaah
mawasiliano ni
+255655245080whatsapp
+255786153977
ushirikina kwetu mwiko!. ...Expand
ni wamechoka kufuata dini za urongo ambaxo haziendani na nafsi na maumbile yao. ...Expand