#VIDEO Wizara ya Afya Tanzania inamtafuta mtaalamu wa afya aliyeshona jeraha na kisha kulifumua kwa madai ya kwamba mgonjwa huyo alishindwa kulipia gharama za matibabu. Wizara imeomba kwa mwenye taarifa zaidi kuhusu video hii atume SMS kwa Waziri Dkt, Dorothy Gwajima kwa namba 0734124191.
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for Wizara ya Afya Tanzania inamtafuta mtaalamu wa afya aliyeshona jeraha na kisha kulifumua.: