Anaitwa Masatu Victor, Ni kijana msomi (Civil Engineer). Hakubweteka na kusubili ajira. Bali lianzisha mradi wa kufuga kuku na bwawa la samaki. Sasa katengeneza ajira na anauza mazao ya ufugaji wake hadi nchi jiran za Afrika Mashariki.
Episode 7 ya Maktedis Podium:
Join Us on http://www.facebook.com/maktedishttp://www.twitter.com/maktedis
Follow Al Makono :
http://www.facebook.com/AlMakono