SEMA NA MOYO WANGU ni wimbo ambao umegusa maisha ya watu wengi hasa vijana.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: https://www.instagram.com/hurudigital/
@eliasmhagama49782 years agoBwana yesu akutunze na azidi kukuinua katika huduma njema aliyoweka ndani yako. Barikiwa sana. 1
@
@reginaldipeter22722 years agoHallelujah hongera sana wimbo umekuja kwa wakati kwangu asanye. 1
@
@mercychepkirui39245 years agoSo touching song, may god bless you my sister.
@
@ajeofficial1last yearBarikiwa sana na mungu aseme na moyo wako.
@
@anaclethmeshack79442 years agoTunatamani urudi katika uimbaji huu unaomtukuza mungu kuliko ujinga ulioufanya kwenye nyimbo zako wa lango pamoja na fire.
@
@jelesjames35103 years agoSaut nzur sana, wimbo wako pia unanibariki sana. Mungu azidi kubariki kipaji chako.
@
@damariskabei70535 years agoThis song always breaks me. Ooh lord speak to me. 1
@
@princesslowasa52337 years agoNice song it bless my life. Jesus say in my heart love it bless you miriam.
@
@videogospel9956 years agoWow. What a beautiful song. I feel blessed.
@
@lulufalagha46936 years agoUh nakumbuka nilipokua mtoto mdogo nilikua nauskiza huu wimbo kwa kanda uklinibariki tangu utoto mpaka sasa utu uzima bado nabarikiwa. 1
@
@emilianamassawe85836 years agoSema nam yesu sema na watoto wangu mungu uwii dada ubarikiwe mungu akubariki sana uduma yako yauimbaj ifike levo ya juu sema na taifa letu la tanzania.
@
@zakayoseeko57706 years agoSema na moyo wangu bwana ubarikiwe mtumishi wa mungu kwaujumbe mzuri.
@
@wakalingati66276 years agoSema na moyo wangu bwana. Be blessed my sister. 1
@
@bitonmwansile73776 years agoAmeen wimbo mzuri saana + uimbaji mzuri unabariki sana.
@
@magejoseph92584 years agoBaba sema na moyo wangu sema nami baba kwani majalibu ni mengi sema na moyo wangu baba.
@
@lucypenfod85166 years agoAmina sema na moyo wangu baba barikiwa sana. 2
@
@lucybenjamin95406 years agoSema na sema na sema na moyo wangu sema na sem na sema na moyo wangu . Be blessing.
@
@elizabethmyamba7666 years agoSema na moyo wangu juu ya maisha yangu baba.
@
@libarikiarajackson6 years agoUbarikiwe sana dada angu entelea kwabudu.
@
@a2gmgimwa36 years agoAmen, rebeca malope wa bongo umeshapatikana.
@
@martinshirima23036 years agoBeautiful rhythm corresponding bit fun.
@
@happybalama35916 years agoNaupenda sana nikitaka kuomba huwa nauimba sana.
@
@newtonerwaga34018 years agoI come from a very small town in uganda that is called moyo.
Related videos for SEMA NA MOYO WANGU by MIRIAM LUKINDO WA MAUKI:
na mungu aseme na moyo wako.
sema na
sema na moyo wangu
sema na
sem na
sema na moyo wangu . Be blessing.